Hii Taarifa (katika picha) inasambazwa mitandaoni kwamba Imetoka
IKULU. Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais ,Gerson Msigwa kasema ni
ya uongo, imetengenezwa na watu wenye nia ovu hivyo ipuuzwe
Taarifa ya Uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha Kutenguliwa Inayosambaa Mitandaoni...Ikulu Yatoa Tamko
Reviewed by Boss Ngasa
on
Wednesday, October 19, 2016
Rating: 5
No comments:
Post a Comment