Usiku
wa Dec 25, 2016 wakali wa Bongo Fleva akiwemo Diamond Platnumz,
Harmonize, Rayvanny, Queen Darleen, Q Boy, Chege pamoja na msanii kutoka
Nigeria Kcee wameandika historia katika mkoa wa Iringa.
Show
hiyo iliyopewa jina la Vodacom Wasafi Festival imefanyika katika uwanja
wa Samora Stadium, hizi ni baadhi ya picha kutoka mahali palipofanyika
tamasha hilo.
PICHA 15: Vodacom Wasafi Festival Ilivyofanyika Dec 25 Mkoani Iringa
Reviewed by Boss Ngasa
on
Monday, December 26, 2016
Rating: 5
No comments:
Post a Comment